Wapenzi wajinyonga kwa pamoja baada ya kukataliwa kuoana

Unknown     1:16 PM    


clip_image002Mkasa uliotokea nchini Congo ..Wapenzi hawa wawili waliamua kuchukua jukuma la kujinyonga kwa  kujininginiza  kwenye mti hadi kufa baada ya wazazi wa  mvulana kukataa mtoto wao asimuoe msichana huyo..Baada
ya jitihada zao za kuwashawishi kushindikana  basi waliamua kuchukua hatua hiyo ya kujinyonga. Wazazi tuwe makini na maamuzi yetu mbele ya watoto

,

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.