POST YA R.I.P ALIYOIANDIKA LANGA KWA NGWEA NA VIDEO YAKE MWISHO

Unknown     10:22 AM    


Ikiwa ni siku chache baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Albert Mangwea, tasinia ya Muziki wa kizazi kipya imepata pigo jingine  kubwa kwa kuondokewa na msanii wa Hip Hop anaejulikana kwa jina la Langa Kileo.
 Langa  amefariki dunia  akiwa  katika  hospitali ya  Taifa  ya  Muhimbili  baada ya  kulazwa  jana  akisumbuliwa  na  malaria  kali

LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.