Picha mbali mbali wakati wa mazishi ya mmoja kati ya wahanga wa bomu la Arusha..!!

Unknown     5:31 PM    

Wabunge wa Chadema wakiwa eneo la makaburi tayari kwa maziko ya marehemu Judith Moshi aliyefikwa na mauti baada ya kulipuliwa na bomu kwenye mkutano wa Chadema Arusha Jumamosi hii.. Marehemu ameacha watoto watatu wa kike.



Naomba radhi kwa picha hii ya tarehe 15 Juni 2013 eneo la Soweto - Arusha.


Kamanda mwenye tisheti nyekundu hapo ni Katibu wa Mbunge Godbless Lema, anaitwa Gabriel Kivuyo yuko ICU kwa siku ya tatu sasa hazungumzi kwasababu aliumia vibaya kichwani na miguu yote haina kazi! Tumuombee Mungu ampe uzima aendelee kulitumikia taifa.. Its so sad kwamba huyo mama aliyelala pembeni yake (akiwa marehemu tayari) baada ya mlipuko Kamanda Judith Moshi ndio amezikwa leo Sokoni 1, Arusha .. ni Kiongozi wa chama na kina mama na Katibu wa Chadema katika Kata hiyo. Judith ameacha mtoto wa miaka 2 na watoto wengine wa kike wote!
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

,

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.