MWILI WA NGWEA UMEWASILI UWANJA WA NDEGE MWL. NYERERE. WATU KIBAO WAPO KWA AJILI YA MAPOKEZI

Unknown     5:42 AM    

clip_image002Mwanamuziki kutoka kundi la wateule akiwa ameshiba msalaba wa Albert Mangwair baada ya mwili wake kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl.Julius Nyerere.Photo: Friends and fan #ngwair arrival #airportBaadhi ya mashabiki na wapenzi wa nyimbo za marehemu Albert Mangwair wakilia kwa uchungu Airport jijini Dar es salaam baada ya mwili wa kipenzi cha watu kuwasili.Photo: #ngwair #airport 
Pichani ni baadhi ya Watanzania wakiusubiria mwili wa marehemu Albert mangwair kuwasili uwanja wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere.Photo: #bananazorro and #media 
Mmoja wa marafiki na msanii Mangwair Banana Zorro akihojiwa na mwandishi wa habari wakati wakiusubiria mwili wa marehemu huyo.
Photo: #airport cargo section gate 6 waiting for our brothet #cowboy #ngwea
Mwili wa marehem Ngwea, tayari ushafika uwanja wa ndege Dar na tayari ndugu zake wameshauthibitisha kama kweli ni mwili wa Ngwea...

LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.