Mtu mmoja afariki dunia, afia Uroda gesti house Manzese

Unknown     7:20 AM    


Wananchi wakiwa wamekusanyika katika gesti ya Uroda alipofia jamaa huyo.…
Wananchi wakiwa wamekusanyika katika gesti ya Uroda alipofia jamaa huyo.

Mwili wa jamaa huyo ukiwa katika difenda.
Jamaa mmoja ambaye hakujulikana jina lake leo amekutwa amekufa katika gesti bubu iitwayo Uroda iliyopo Manzese Midizini jijini Dar. Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwa eneo la tukio ni kwamba marehemu alikuwa na mpenzi wake ambaye waliingia wote katika gesti hiyo lakini alikutwa jamaa peke yake. Mwili wa marehemu umepelekwa na polisi kwa uchunguzi zaidi.

(PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

,

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.