Muda huu ni msafara wakumpeleka marehemu Albert Mangweha hospitali kuu ya Mwimbili kumpumzisha. Hapa barabarani ni wananchi wamezuia gari lililobeba jeneza na wakitaka litolewe nje walibebe mpaka hospital ya Mwimbili.
Muda huu ni msafara wakumpeleka marehemu Albert Mangweha hospitali kuu ya Mwimbili kumpumzisha. Hapa barabarani ni wananchi wamezuia gari lililobeba jeneza na wakitaka litolewe nje walibebe mpaka hospital ya Mwimbili.