Kala Jeremiah aanza safari kupeleka tuzo kwa mama Ngwea ..!

Unknown     12:46 AM    



Kala Jeremiah akiwa na kundi lake ameanza safari kuelekea Morogoro kupeleka tuzo kama alivyoahidi. Katika msafara huo anaambatana na washkaji zake katika safari hiyo. #KALI ZA KITAA itaendelea kukujuza msafara mzima ikiwa ni pamoja na picha za matukio mbalimbali katika shughuli hiyo
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.