Je, unaifahamu adha/aibu ya kufumaniwa......acha uzinzi tulia na wako!!!!

Unknown     11:09 AM    


Hii Tabia ya Kutembea  na Waume au Wake za Watu  iishe jamani? Mbona Wanaume au wanawake Ma-Bachelor Wapo Kibao? Ukimwi nao hatuuogopi? Kuna Nini Huko Katika Ndoa? Uchunguzi uliofanywa  na mtandao huu  umebaini kuwa siku  hizi watu wanaolewa au kuoa ili kuifurahisha jamii tu.  Ndoa zetu zimejaa usaliti wa kila hali.Chanzo cha maovu hayo ni tamaa ya pesa, kutoridhika kimapenzi,  ushawishi wa kupandishwa  vyeo kazini   na mambo mengine kibao.






Picha kwa msaada wa mitandao mbalimbali
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

,

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.