Jaguar aendelea kuthibitisha ni jinsi gani ana mshiko wa kutosha, lakini hasau kondom anaposafiri

Unknown     8:59 AM    

Ulikuwa bado una wasiwasi na utajiri wa msanii wa Kenya Jaguar? Well, sio mimi ni yeye ndio katoa tip ya kile alichokuwa amebebea jana jioni kabla ya kupanda ndege kurudi nchini Kenya akitokea UK.
Jaguar
Katika picha aliyoiweka kulikuwa na Passport yake ili wasije kusema alitumia picha ya mtu mwingine, then cheni moja ya gold ya hatari, saa mbili za gharama, Samsung Galaxy note, Calvin Klein Cologne na noti za UK pound za kutosha.
Lakini Jaguar amedhihirisha hana kigeugeu katika swala zima la kujilinda, alikuwa na pakti moja ya condom aina ya durex, nadhani hii ndio iliyobaki, LOL!.
Hit maker wa ‘Kigeugeu’ Jaguar alikuwa akirejea Kenya baada ya kuvuka boda kama alivyoimba katika wimbo wake ‘Navuka boarder’ akitokea London Uingereza ambako alitumbuiza katika show moja na TID wa Tanzania.
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.