
Wakina dada jaman kuweni makini na huyu kaka anatumia jina AHMED MOHAMED MOHSEN facebook, kazi yake kutapeli wadada kwenye mitandao na gia yake kapata ajal, wengine anawatongoza alafu anakukopa anadai amepata ajali so kuweni makini jaman..
mimi nilisikiaga habari zake sasa naona leo kaamua aje kwangu KAINGIAJE CHAKA!!! mimi mwenyewe tapeli lol!! alivyojua namjua akaniblock kabsa na fb kwenyewe ila jna la tigopesa nimechek anaitwa HAJI REUBEN
ebu chek chat ze2
- Conversation started today