Huyu ndiye binti wa Kajala Masanja aliyezaa na P funk Majani. mcheki hapa

Unknown     12:14 AM    


Anaitwa Paula mtoto wa mama mwenye talent na baba mwenye talent, so vipi kuhusu mtoto?. Ofcoz hawezi kukosa kuwa na kipaji na yeye pia. Baba yake ni famous producer P Funk na mama yake ni one of the best actress hapa bongo..swali la kizushi ni kwamba atafuata music kwa baba au movie kwa mama.?1.. 1 Screenshot_2013-6-1 0.41.53
Picha zaidi hapa
23Screenshot_2013-6-1 0.33.49
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.