China kuna vituko: Tazama picha za mashindano ya kupigana mabusu

Unknown     12:56 AM    

Ama kweli duniani kuna mambo na visa haviishi kila siku binadamu anabuni wazo jipya pengine wazo linaweza kuwa lakijinga ila likawa kivutio kwa wengi.. wazo hili ni hili la kuanda mashindano ya kupigana mabusu katika style ya kipee..ilianzia china ikaenda mpaka thailand
wapenzi walioshinda walibusiana kwamuda wa masaa mawili na dakika  43.2 hours and 43 minutes 
shindano hili hufanyika kila mwaka katika sikukuu za wapendanao yani Valentine's Day
 


 kazimia huyu












sasa mwaka huu shindano hili likaletwa kwa style ya kipekee ambapo washiriki wote walitakiwa wavae nguo za harusini.



,

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.