BILL CLINTON ADAIWA KUZAA NA CHANGUDOA

Unknown     1:57 AM    



Rais wa zamani wa marekani, Bill Clinton, amejikuta kwenye mkasa mwingine baada ya mtoto wa mwanamke aliekua changudoa, Danny Lee Williams, kudai kua bill clinton ni baba yake. Mtoto huyo mwenye miaka 27 amemuomba Bill Clinton amkubali kama mzazi na amesema:
"I read he doesn’t have long to live and I want to meet him face to face before he dies,” 

“I just want to shake his hand and say, “Hi Dad,’ before he dies. I’d like to have a relationship with Chelsea, too. She’s my half-sister.

Kwa upande mwingine Bill Clinton ameagizwa kupima “DNA” ili kubaini ukweli wa mkasa huu.


LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

,

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.