Hizo ndizo kauli zao ndugu, nawapongeza sana hasa Ney wa Mitego kwa Uamuzi wake wakujua kuwa Dogo ni mmoja wa Mashabiki wake na Kwa upande mwingine naye ni Msanii ambaye anatafuta namna ya kutoka hivyo jambo zuri ni ushirikiano katika Inderstry hii ya Mziki.. BIG UP SANA MKUBWA NEY WA MITEGO