Wema Sepetu sasa hivi yuko kama rais wa Ngome yake ya Endless Fame filims. Akiwa kwenye safari ya kuelekea Dodoma kwenye party ya uzinduzi wa msimu mpya wa Clouds FM Twenzetu na crew yake ya Endless Fame na watu kama PetitMan,TIntyDaddy na Kajala, kwenye gari ambalo yeye yupo ndani yake lilikuwa linapepea kibendelea cha logo ya kampuni yake Endless Fame.