Waarabu wakomalia kupiga picha na Wolper......

Unknown     7:56 AM    


WATOTO wenye asili ya Kiarabu wamezua tafrani ya aina yake baada ya kumkomalia mwigizaji Jacqueline Wolper apige nao picha.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni maeneo ya Magomeni-Mapipa, Dar kwenye shughuli ya arobaini ya mtoto wa mwigizaji Halima Yahya ‘Davina’ ambapo uvumilivu uliwashinda walipomuona staa huyo, wakaanza kumsumbua mama yao awaombee ili wapige naye picha.
Kutokana na umri wao kuwa mdogo, mama yao alishangazwa na kitendo cha wanaye hao kumjua mwigizaji huyo ingawa hakuwa na jinsi, ilibidi amuombe Wolper apige picha na wanaye.
Wakati zoezi la kupiga picha likiendelea, watoto hao walionekana kumshangaa Wolper huku wakimshika sehemu mbalimbali za mwili wake.
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.