Kwa Wale ambao tunapata bahati ya maskio yetu kupata udaku wa hapa na pale bila shaka tumeshawahi kulisikia hili, " Ukipiga Sipu ya Pweza Kabla ya Mechi" Basi Uwanjani Patachimbika. Leo tutajaribu kudadavua kwa upande wetu hili limekaa vipi?
Kwanza kabala sijaenda mbali zaidi napenda niseme kwamba hii ni dhana ya kisaikolojia, ambayo hukupa fikra ya kimchezo zaidi unapokuwa na mkeo, pia hukupa ujasiri na ushujaa wa kuutawala Mchezo, ni nzuri kiupande mmoja, lakini haina 100% ukweli. Performance yako inatokana na kujiandaa na kuwa kimchezo zaidi.
Kama nilipoeleza hapo awali kuhusu vyakula kwa ajili ya afya ya mapenzi, nilizungumzia "nyama" (Red meat) ikichomwa huongeza mafuta na protein ambayo uhitajika zaidi kipindi cha mchezo. Pweza kama pweza, huangukia upande huu pia, huleta mafuta na protein, kinachochangia zaidi ni ile imani uliyo kichwani kwako, hii hufanana na mwanaume aliekunywa vidonge vya kuongezea nguvu za kiume, mathali "Enjoy" au Erecta 2.5, Huwa na uhakika wa kufanya vizuri mchezoni kama mwanafunzi aliyeingia katika chumba cha mtihani akiwa na "Chabo/Nyenzo/Kibomu" obvious atakuwa na asilimia kubwa ya ushindi.
Kwa mfululizo huu hata karanga mbichi na maziwa huwa na athari za kufanana na vitu tulivyoviongelea hapo juu.
Utata Kuhusu Supu ya Pweza Na Nguvu za Kiume
Unknown
12:34 PM
Recommended
-
Anaitwa Gentriez Mwakitabu ni rapper wa River Camp Soldiers na mwanzilishi wa Chata ya Arusha Boy Na Arusha Girl. Logo hii ni moja ya se...
-
Hapa ni katika show ya Diamond huko Bukoba ,,nguo ya ndani tupa kule: Mwanamke akimwagiwa maji matakoni mbele ya watoto waliohudhu...
-
" Mimi ni mwanamke wa miaka 30 tatizo kubwa linalonitatiza ni kuwa wakati wa kufanya mapenzi na mr. Nitajuaje kama nami pia nimekojoa...
-
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda akiwapungia wanahabari wenzie mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Nd...
-
Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia ...
-
Kwa Mujibu wa Mtandao wa Kenyan Post Hizi ndio Picha za Msichana mmoja wapo ambae anakabiliwa na Mashtaka ya kukutwa wakifanya ma...
-
Socialite Huddah Monroe seems to be dogged by controversies in everything she lays her hands on. However, in a complete turn of events, th...
-
Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachili...
-
The star was photographed with légs spread while she was performing on stage.. We can't help but wonder what she was up to before the c...
-
Hivi karibuni mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Ezekiel Malika 'Baba Kulwa' amenaswa gesti na mkewe akiserebuka na shoga a...