Hatimaye Mnyama TID ameamua kuvunja ukimya na kuzungumzia suala la kukosa kutajwa kuwania tuzo za Kili mwaka huu na kudai anahisi amehujumiwa. Akiongea exclusively na Bongo5, TID amesema ameshangaa wimbo wake Kiuno kutoingizwa kwenye tuzo hizo ilhali ulifanya vizuri kwenye redio na kwenye TV.
“Waliniita before hata hizo nominations na nini, mimi nilikuwa safarini nikashindwa kufika na tayari nilishaongea na Kavishe tulikuwa gym tukakubaliana kwamba hizi issue ziishe sasa nashangaa kwenye nominations sijawekwa na wimbo wangu sijui maana yake nini,” amesema TID.
Amesema hawezi kuilaumu academy inayochagua nominations hizo kwakuwa hupelekewa majina.
“Hapo kuna kauli imetoka ya mtu mwingine ambaye amekataza nisiwekwe,” amesisitiza.
Amesema tayari alishakubali kuziweka tofauti zake na waandaji wa tuzo hizo pembeni ili kuanza ukurasa mpya lakini haelewi ni kipi alichowakosea mara nyingine.
“Kwanini sasa wasiniweke, nini kitu kibaya nilichofanya mimi? Nahisi kuna mchezo kwasababu wimbo wangu ulitakuwa uingie kwenye categories kibao na ushinde sababu umehit sana mwaka jana.”
TID AWALALAMIKIA KILL MUSIC AWARDS KWA KUTOWEKA NYIMBO YAKE KTK TUZO HIZO, HIKI NDO ALICHOKISEMA
Unknown
2:06 PM
Recommended
-
Anaitwa Gentriez Mwakitabu ni rapper wa River Camp Soldiers na mwanzilishi wa Chata ya Arusha Boy Na Arusha Girl. Logo hii ni moja ya se...
-
Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachili...
-
" Mimi ni mwanamke wa miaka 30 tatizo kubwa linalonitatiza ni kuwa wakati wa kufanya mapenzi na mr. Nitajuaje kama nami pia nimekojoa...
-
Socialite Huddah Monroe seems to be dogged by controversies in everything she lays her hands on. However, in a complete turn of events, th...
-
Hapa ni katika show ya Diamond huko Bukoba ,,nguo ya ndani tupa kule: Mwanamke akimwagiwa maji matakoni mbele ya watoto waliohudhu...
-
Habari za uhakika ni kuwa muigizaji wa vichekesho nchini maarufu kwa jina la Masele cha Pombe ni mzima wa afya na hajafariki kama baadhi y...
-
Rafiki wa wa karibu wa marehemu Albert Mangwea aliyekuwa amelazwa nchini Afrika Kusini amerejea Tanzania na yuko njiani akielekea mkoani M...
-
Kwa Mujibu wa Mtandao wa Kenyan Post Hizi ndio Picha za Msichana mmoja wapo ambae anakabiliwa na Mashtaka ya kukutwa wakifanya ma...
-
Hivi karibuni mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Ezekiel Malika 'Baba Kulwa' amenaswa gesti na mkewe akiserebuka na shoga a...
-
U May kiss the bride...hahaha LOL.... Napenda kurudisha shukrani za pekee kwa mwenyezi mungu kwa siku ya jumamosi na siku zote za uhai wan...