Nini cha msingi kufanya mara tu baada ya kufanya mapenzi

Unknown     11:54 PM    

Kitendo cha ku do, kinamsisimko wa aina yake, kila kiungo cha Mwili kinashiriki kwenye kitendo hiki kwa ufanisi wa hali ya juu, kabla na wakati wa ku do damu uhakikisha inafika kila eneo la mwili kwa ajiri ya kupeleka chakula na oxygen. 

Na kwa sababu ni kweli kwamba mara baada ya kitendo hili washiriki wanakuwa wamechoka sana, je inashauriwa kufanya mambo gani, kiafya au kisaikologia, japo ndani ya nusu saa baada ya kupiga bao?

1. Kuzungumza, asantee.., nimefurahi sana, wewe ni mtaalamu aisee... sijawahi furahi namna hii.. au story ndefu zaidi.
2. Kulala, kama usingizi ukija, basi sinzia huku mwili ukiwa huru kabisa.
3. Kukumbatiana, kung'ang'aniana
4. Kupata vinywaji, maji, juice, chai, energizers,vinywaji vikali, kula matunda, ama chakula kizito
5. watch movie, au habari
6. Chumba kuwa kitulivu au kufungulia mziki,
7. Kujisomea, kitabu, gazeti 
8. Kuanza kufanya mawasiliano na outsiders, kwa simu kwa mfano

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.