LIL WAYNE AZIDIWA NA KULAZWA TENA

Unknown     6:45 AM    



Lil’ Wayne amelazwa tena hospitali kutokana na kushambuliwa na kifafa. Kulazwa kwake kumekuja wiki kadhaa baada ya kulazwa tena kwa tatizo kama hilo.



Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Wayne alipekwa hospitali ya Cedars-Sinai juzi usiku na walinzi wake ambako alitibiwa na kutolewa jana.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.