JOHARI: SIMTEGEMEI RAY

Unknown     11:34 PM    


MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa levo aliyofikia hivi sasa ni ya kuweza kusimama mwenyewe na anaweza kusimamia filamu pasipo mkurugenzi mwenzake wa Kampuni ya RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’.

Blandina Chagula ‘Johari’.
Akizungumza na paparazi wetu, Johari alisema yeye na Ray wamejiwekea mikakati yakinifu katika majukumu ya kazi ndiyo maana anaweza kuigiza filamu peke yake na Ray vilevile.
“Mimi na Ray hatutegemeani, mfano sasa hivi mimi naandaa filamu ya Bad Lucky ambayo Ray hakushiriki kwa kitu chochote,” alisema Johari.
 
Vincent Kigosi ‘Ray’.
Source: GPL

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.