MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa levo aliyofikia hivi sasa ni ya kuweza kusimama mwenyewe na anaweza kusimamia filamu pasipo mkurugenzi mwenzake wa Kampuni ya RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’.
“Mimi na Ray hatutegemeani, mfano sasa hivi mimi naandaa filamu ya Bad Lucky ambayo Ray hakushiriki kwa kitu chochote,” alisema Johari.
Vincent Kigosi ‘Ray’.
Source: GPL
