BREAKING NEWZZZZ! MSANII ALBERT MANGWEA (Ngwair) AFARIKI DUNIA HUKO SOUTH AFRICA

Unknown     8:31 AM    


Ngwea-22
 msanii wa miondoko ya HIPHOP Abert Magwea amefariki dunia akiwa South Africa. Sababu kamili kuhusiano na chanzo cha kifo hicho bado hazijajulikana. Watu smart entertainment tunaendelea kufuatilia ukweli japo
Taarifa zinasema Kwamba
Ngwea akiwa na msanii M to the P jana
south africa.mtu wa karibu anasema
walitakiwa kurudi dar leo lakini
waliwakuta wamezima kwenye room
wote wawili baada ya kuji overdose
madawa ya kulevya na M to the P yupo
hoi hospitali.
SOURCE: michuzi& mwaharakati mzalendo blog

LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.