Angalia making video ya majanga ya msanii snura ndani ya south africa

Unknown     8:50 AM    

 Video ya wimbo wa MAJANGA wa SNURA imefanyika katika nchi mbili tofauti ambapo ni TANZANIA na SOUTH AFRICA kwa TANZANIA itafanyika magwepande wilaya ya pwani  hivi karibuni kumalizia vipande vya video hiyo na SOUTH AFRICA imeshafanyika katika mji wa PRITORIA NA JOHANESBUG. ni video inayoonyesha mazingira halisi ya wimbo huo kwa kila eneo, mastar mbalimbali wataonekana katika video hiyo ya majanga akiwepo JACKLINE WOLPER,CHUCHU HANS,CHEK BUDI,DUDE, na wengine kibao.Akiongea manager wa SNURA hemedi kavu a.k.a hyperman hk.alisema video hiyo kwa sasa inafanywa na kampuni ya EMAGE ARRAY chini ya msimamizi mahiri na machachari ABBY KAZI.
 Siku ya jumanne ijayo ya tarehe 14 tunategemea kwenda magwepande kumalizia vipande vya VIDEO hiyo ya wimbo unaotikisa jiji kwa sasa wa majanga uliotengenezwa katika studio za FIRE MUSIC chini ya producer mkali MORE FIRE.









Kaa mkao wa kula moja kati ya video za kiafrica zitakazovuka boda majanga ya snura ndio habari ya mjini.
 
CHANZO : HK BLOG

Recommended

Like Us

Company

Legal Stuff

FAQ's

Blogroll

Subscribe to Newsletter

We'll never share your Email address.
© 2015 Umbeya Specially. Blogger Templates Designed by Bloggertheme9. Powered by Blogger.